Karibuni kwenye Wabongomeet Blog

Jitafutie rafiki na mchumba hapa Wabongomeet.....


Kwa wale wote ambao watapenda kuweka picha pamoja na info zao, tafadhali tuma kwa kupitia email wabongomeetinfo@gmail.com Nakaribisha maswali pamoja na maoni yenu.







Sunday, September 11, 2011

Wachumba/ Marafiki wa Kiume:

Watafutao wachumba/ marafiki wa kiume, jichagulie hapa.


DAVIS



Jina langu: Davis
Jinsia yangu: Mwanaume
Umri wangu: 32
Natafuta: Mwanamke (mchumba)
Umri wake: 20 – 25
Kwa uhusiano kama: Tutaanza kama wachumba then ndoa tukiridhiana
Nchi ninayoishi: Tanzania (Dar es Salaam)
Umbo langu: Si mwembamba na si mnene ( size ya kati) mweusi
Kazi yangu: Muajiriwa wa private company
Mshahara: Nitamfahamisha mlengwa
Oa: Sijawahi oa
Mtoto: Ninaye mmoja
Dini yangu: Mkristo (RC)
Pombe: Natumia kidogo na mara chache kwa mwezi
Yeye nchi: Tanzania ( Waishio Dar es Salaam wanapewa kipaumbele zaidi)
E-mail & Simu: qs@atlas.co.tz, 0765 817 200
Elimu yangu: Chuo kikuu
Elimu yeye: Minimum form four
Dini yeye: Sibagui dini
Kazi yeye: Awe na kazi yeyote halali


DERRIC


Jina langu: Carlson Derric
Jinsia yangu: mwanamme
Umri wangu: 27- 30
Elimu yangu: chuo kikuu
Natafuta: rafiki msichana kwa ajili ya long term relatioship mpaka ndoa
Miaka yake: 21 - 30
Nchi atokayo: yoyote
Nchi ninayoishi: Tanzania
Muonekano wangu: mwembamba
Umbo lake: asiwe mnene sana, wala asiwe mrefu sana
Kabila yake: awe kabila yoyote
Dini yangu: mkristo
Dini yake: haijalishi - tunaweza jadiliana
Sigara (mimi): sivuti sigara
Sigara (yeye): asiwe mvutaji wa sigara
Pombe (mimi): nakunya mara moja moja weekends
Pombe (yeye): kama anakunywa sawa ila asiwe mlevi
Oa/olewa (mimi): sijawahi kuoa
Oa/olewa (yeye): awe hajawahi kuolewa
Mtoto (mimi): sina
Mtoto (yeye): inategemea
Simu yangu: 0657608220
E-mail yangu: dbkupa@yahoo.com


JOHN

Jina: John
Jinsia: Mwanaume
Umri wangu miaka: 31,
Natafuta: Mchumba/mwanamke
Umri wake: 25 - 2,
Lengo la uhusiano: kuoana
Nchi ninayoishi: Tanzania,
Umbo langu: Wastani
Elimu yangu: Chuo Kikuu
Elimu yake: kuanzia Diploma
Mtoto: Sina
Dini yangu: Mkristo-Anglican
Dini yake: awe mkristo 
Pombe: sinywi wala sigara sivuti
Yeye: awe asinywe pombe na asivute sigara 
Umbo lake: wastani-sio mnene au mwembamba
Sura: asili isiyokobolewa kwa mkorogo
Kazi yangu: Mtumishi Serikalini
Kazi yake: awe mtumishi


KOLONIKE

Jina langu: Kolonike
Jinsia yangu:
Mume
Umri wangu:
40
Natafuta:
rafiki
Umri wake:  
kutoka  miaka 18 na kuendelea.
Kwa uhusiano kama:  
rafiki
Jinsia ya rafiki:
kike
Nchi unayoishi:
Italia
Umbo langu:
kimo cha wastani, mweusi kiasi.
Kazi yangu:
Mwajiriwa.
Muonekano
wangu: Wastani.
Mshahara:
siri yangu
Oa/Olewa:
nimeoa
Mtoto (wa):
Nina mtoto 1
Dini yangu:
Mkristo (RC).
Dini yake:
sibagui dini, awe mkristu muislam
Sigara (mimi):
Sivuti.
Sigara (yeye):
Asivute hata kidogo
Pombe (mimi):
nakunywa ila kidogo sana.
Pombe (yeye):
atakavyo.
Email: waratiba77@gmail.com
Simu:
Nitatoa baadaye tukishafahamiana.
Maelezo Zaidi: Mimi ni mtanzania , niko hapa Italia kikazi.  Ninapenda
kufanya urafikia na mtanzania mwenzangu , hasa katika kushauriana,
kujijenga kimaisha na kusidiana na  kupendana.
Hobby yangu ni kusoma vitabu, Siasa hasa za bongo, kuchat, kutembelea
sehemu mbalimbali na mpira wa miguu.




 MORGAN

Jina: Morgan Clifford Lewis.
Jinsia: Mwanaume.
Umri: 30.
Natafuta: Rafiki wa kike.
Kwa uhusiano: Kubadilishana mawazo.
Umri wake: 30-50. 
Nchi ninayoishi: Tanzania Dar. 
Umbo langu: Mrefu kiasi mnene kiasi.
Mwonekano wangu: Kawaida rangi maji ya kunde.
Mshahara: Nitausema baadae. 
Oa: Sijaoa. 
Mtoto: Ninaye mmoja. 
Dini yangu: Mkristu RC. 
Dini yake: Mkristu au Muislamu. 
Umbile lake: Lolote sawa tu. 
Elimu yake: Yeyote. 
Sigara mimi: Sivuti. 
Sigara yeye: Asivute. 
Pombe mimi: Sinywi. 
Pombe yeye: Atakavyoamua yeye. 
Email yangu: morgan.lewis6026@yahoo.com 
Simu: Nitampa akinitafuta kwa email.



LAURENT

Naitwa LAURENT,
Jinsia  Mwanaume,
Natafuta mchumba,
Umri wangu 29,
Umri wake 18-28,
Kabila langu ni msukuma,
Kabila lake lolote lile,
Dini yangu Mkristo RC,
Dini yake yoyote ile,
Elimu yangu ni ya Chuo kikuu,
Elimu yake sekondary na kuendelea,
Kazi sina ndo nimemaliza chuo kikuu mwaka huu tu,
Kazi yake yoyote ile yenye maana katika jamii,
Wasifu wangu ni mweusi na mwembamba kiasi,
Wasifu wake asiwe mwembamba sana,rangi yoyote ile,
Mwenye mtoto tayari anaruhusiwa pia,
Maelezo Zaidi.
Awe mpenda maendeleo,
atakayeambatanisha(ATTACH) picha yake kwenye Email hii atapewa kipaumbele,makoyelaurent@yahoo.com,simu 0767 308125/0715 308125



JACK MUSHI.
Jina: DAVID
Jinsia yangu: mwanaume
Umri wangu: 29
Natafuta mchumba
Umri wake 25-29
Uhusiano: kuoana akiniridhisha
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: wastani
Elimu yake: kuanzia kidato cha sita
Elimu yangu: chuo
Muonekano wangu: wastani
Mtoto: sina
Dini yangu: Mkristo
Sigara(mimi): sivuti
Sigara(yeye): asivute
Pombe: sinywi

Unaweza kuwasiliana namimi kwa email ili upate maelezo kamili. Ila mimi ni kaka ambaye niko tayari kabisa kuwa mume wa mtu, nimejitunza na kujiheshimu vizuri ni Mkristo mzuri nimesoma japo si sana na nimejiajiri mwenyewe .Sina mtt na sijawahi kuoa zaidi sana nampenda sana Mungu ninamtangulizambele kwenye hili kama uko serious unahitaji mume nitumie email tutaongea zaidina kujua


BONIVENTURE.
Jina langu: Boniventure Aloyce
Jinsia yangu: Mwanaume 
Umri: 34 
Natafuta: Mchumba
Kwa uhusiano: wa kuoana
Umri wake: 20-29
Nchi ninayoishi: Tanzania-Dar
Umbo langu: Mrefu kiasi na mnene kiasi
Muonekano wangu: kawaida rangi maji ya kunde
Mshahara: Nitausema baadae
Oa/olewa: Sijawai kuoa
Mtoto: ninaye mmoja
Dini yangu: mkristo TAG
Dini yake: Mkristo
Umbile lake: mnene kiasi na mrefu kiasi
Elimu yake: form four nakuendelea
Sigara mimi: Sivuti
Sigara yeye: hasivute
Pombe mimi: sinywi
Pombe yeye: Asinywe.
Email: aloyce3@yahoo.com
Simu: 0655022220 au 0783322223

DAUDI.
Jina langu: Daudi Lukumani
Jinsia yangu: Mume
Umri wangu: 34
Natafuta: Mwanamke
Umri wake: 18-50
Kwa uhusiano kama: Urafiki wa kudumu/uchumba
Nchi ninayoishi: Tanzania
Umbo langu: Wa wastani
Kazi yangu: ya kawaida
Muonekano wangu: wa kawaida
Mshahara: Tukifahamiana
Oa/olewa: Bado
Mtoto: Sina
Dini yangu: Muislam
Dini yake: yoyote
Sigara mimi: sivuti
Sigara yeye: asivute
Email: dlukumani@yahoo.com 




JACKSON.
Jina langu: Jackson Johnstone
Jinsia yangu: mwanaume
Umri wangu: 26
Natafuta: Mchumba/Mwanamke
Umri wake: 18-25
Kwa uhusiano kama: Mchumba
Nchi ninayoishi: Tanzania - Dar es salaam
Umbo langu: kawaida
Kazi yangu: Mhasibu
Muonekano wangu: majiakunde, si mrefu wala si mfupi, na wala si mnene.
Mshahara wangu: Nitasema baadae
Oa /Olewa: sijaoa
Mtoto: Sina mtoto
Dini yangu: Mkristo( anglikani)
Dini yake: Mkristo Dhehebu lolote
Sigara(mimi): Sivuti
Sigara (YEYE): Asivute
Pombe (mimi): nakunywa kwa kiasi
Pombe (yeye): Asipokunywa ni vizuri ,bali akinywa anywe kwa kiasi
Email: ndaijack@yahoo.com
Simu: nitaitoa namba baada ya mawasiliano kupitia EMAIL

Maelekezo zaidi: Napenda mtu ambae yuko siriasi na makini katika hili na anaye Jiheshimu, maana mimi nimeshaumizwa saana, sipendi kuona naeendelea kuumizwa tena.hivo akubali kwenda kupima HIV, na akubali baadhi ya mitihani ambayo italenga kumpima kuwa yuko tayari kuwa na mimi na yuko makini na maisha.awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, akiwa na kazi pia ni advantage kwake, awe anashaurika,na aweze kukosoa ,kushauri pale panapohitajika kufanya hivo..PIA AWE MSTAARABU ,AONGEE KWA UPOLE

MOHAMED
Jina langu: Mohamed

Jinsia yangu: Mwanamume
Umri wangu: 28
Natafuta: Mwanamke
Umri wake: 28-35
Kwa uhusiano kama: Mapenzi na hata ikiwezekana tufunge ndoa
Nchi unayoishi: Saudi Arabia
Umbo langu: mwembamba kiasi
Kazi yangu: Kazi unayofanya
Muonekano wangu: Nipo simple na mwekundu kidogo
Mshahara: Siri yangu
Oa/Olewa: Sijaoa
Mtoto: Sina mtoto wala sijazaa
Dini yangu: Muisilam
Dini yake: Muisilam
Sigara (mimi): Sivuti
Sigara (yeye): Si mvutaji
Pombe (mimi): Mie sinywi kilevi cha aina yoyote
Pombe (yeye): Asiwe mlevi
Email: mohamedshum@yahoo.fr
Simu: Unaweza kuweka namba kama hujali au vyoyote unavyoona wewe.

Maelezo Zaidi: Ataekuwa tayari aniagizie ujumbe kupitia anuwani yangu hiyo hapo na hasa nilikuwa napendelea wanawake ambao wapo nje kama Marekani,England,Dubai,na kungineko hata kama atakuwa yuko Bongo basi tutakubaliana endapo vigezo hivyo vipo na hasa awe mwenye mapenzi ya dhati



EZEKIEL MKALAWA
Jina langu: Ezekiel Mkalawa.
Jinsia yangu: Mvulana
Umli wangu: 28
Kazi: mwanafunzi wa chuo cha biashara Dom.
Natafuta: mchumba
Kwa uhusiano: wa kuoana.
Msichana au mwanamke wa miaka 26-30
Nchi atokayo: Ulaya au USA
Mimi Naishi: Tanzania.
Umbo langu: mwembamba wa wastani.
Umbo lake: awe mwembamba wa wastani.
Muonekano wangu: kawaida.
Dini yangu: mkristo Rc.
Yeye dini: haijalishi.
Sigara mimi: sivuti
Sigara yeye: asivute.
Pombe: nakunywa wastani.
Na yeye: anywe wastani.
Sijawahi oa.
Mtoto: sina.
Email yangu: ezemkalawa@hotmail.com
Simu: nitatoa kwa mtarajiwa atakae jitokeza.
Maelezo zaidi: Mimi napenda kuongea na watu napenda napenda kuwa muwazi wa kujielezea kwa watu kama kuna kitu kinanitatiza nami napenda kuwasaidia wezangu wenye kuniambia shida zao.
Nitampenda mtarajiwa wangu kima nijipendavyo mimi mwenye. Na nitamtunza mtalajiwa wangu kama nitunzavyo mboni za macho yangu.
Narudia tena nataka msichana au mwanamke toka Sweden, Norway, Denmark, USA and Canada.



HEMEDY S MNAUNDA

Jinsia yangu: mwanaume
Umri wangu: 23
Natafuta mchumba
Umri wake 18-22
Uhusiano: kuoana akiniridhisha
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: wastani
Elimu yake: kuanzia kidato cha nne
Kimo: sm150-165
Elimu yangu: chuo
Muonekano wangu: handsome boy
Mtoto: sina
Dini yangu: muislam
Sigara(mimi): sivuti
Sigara(yeye): asivute
Pombe: sinywi na yeye asinywe
Email: shemed80@yahoo.com
Simu: 0785059478 / 712162691
Maelezo zaidi: Unaweza kuwasiliana na mimi kwa simu ili upate maelezo ya mwanzo haraka zaidi


ALEX
Jina langu:
Alex
Jinsia yangu: Mwanaume
Umri wangu: 30
Natafuta: Mwanamke
Umri wake: 18-30
Kwa uhusiano kama: Long Term Relationship/Marriage.
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: Mrefu kiasi, mweusi
Kazi yangu: Muajiriwa/Mjasiriamali
Muonekano wangu: Wa kuvutia /wastani.
Mshahara: Nitausema baadaye.
Oa/Olewa: Sijawahi kuoa
Mtoto: Sina mtoto
Dini yangu: Mkristo (RC).
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti hata kidogo.
Sigara (yeye): Asivute hata kidogo
Pombe (mimi): Nakunywa kiasi .
Pombe (yeye): Anywe kiasi
Email: alex.meshack@yahoo.com
Simu: 0788-66446622

Maelezo Zaidi: Napenda kukutana na mwanamke mwaminifu, anayependa usafi awe anakubali kushauriwa na kukosolewa. Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile, asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake. Awe na umbo linalovutia na elimu angalau form four na kuendelea na awe mfanyakazi au mjasiliamali. Awe mke mwenye hekima na busara.



JONES
Jina langu: Jones
Jinsia yangu: Mwanamme

Umri wangu: 30
Natafuta: Mchumba
Umri wake: 22-26
Kwa uhusiano kama: Kuoana
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: mnene
Kazi yangu: maabara
Muonekano wangu: Kawaida
Mshahara: Siri yangu
Oa/Olewa: Sijaoa
Mtoto: Sina
Dini yangu: Mkristo (lutheran)
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti
Sigara (yeye): Asivute
Pombe (mimi): napenda kidogo
Pombe (yeye): Haijalishi.
Email: jonesmaeda@gmail.com
Simu: 0712838341
Maelezo Zaidi: baadae.



GODFREY.
Jina langu: Godfrey
Jinsia yangu: Mume
Umri wangu: 30
Natafuta: Msichana
Umri wake: 20-25
Kwa uhusiano kama: Long Term Relationship/Marriage.
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: kimo cha wastani, maji ya kunde
Kazi yangu: Mwajiriwa.
Muonekano wangu: Wastani.
Mshahara: Nitausema kwa mtarajiwa
Oa/Olewa: Sijawahi
kuowaMtoto: Sina mtoto wala sijawahi kupata mtoto
Dini yangu: Mkristo (RC).
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti hata kidogo, wala sijawahi
Sigara (yeye): Asivute hata kidogo
Pombe (mimi): Sinywi Pombe
Pombe (yeye): Anywe kiasi
Email: wiserck@yahoo.com
Simu: Nitatoa baadaye tukishafahamiana.
Maelezo Zaidi: Mimi ni mchaga, ni mpole lakini nina msimamo, napenda msichana ambaye ni mkweli anayejua kuwa maisha ni kuweka zaidi ya kutumia, mpole kama mimi na awe mcheshi pia. Mimi napendelea kusafiri, kusoma vitabu na muziki.


WILL. Jina langu: Will
Jinsia yangu: Kiume
Umri wangu: 26
Natafuta: Msichana Mrembo
Umri wake: 20-24
Kwa uhusiano: Uchumba
Nchi nnayoishi: Tanzania
Umbo langu: Wastani
Kazi yangu: Mwanachuo wa Chuo Kikuu (UDSM)
Mwonekano wangu: Wakuvutia
Mshahara: Bado
Oa: Sijaoa na nipo Single
Mtoto: Sina
Dini yangu: Mkristo
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti
Sigara (yeye): Asitumie
Pombe (mimi): Situmii
Pombe (yeye): Asitumie
E-mail: one.will61@yahoo.com
Simu: Mara baada makubaliano
Maelezo zaidi: nipo serious natafuta mrembo
atakae kuwa mchumbaangu then kuwa
mke wangu wa maisha, kwan nipo mwaka wa
mwisho nahitaji kupata ubavu wangu wa maisha.
Awe mweupe kiasi,mwenye mvuto na shape nzuri
ya kuvutia na awe na Elimu ya Juu.



MARK.
Jina: Mark
Jinsia yangu: mvulana
Umri wangu: 21
Natafuta: msichana (awe anaishi Dar)
Umri wake: 18
Kwa uhusiano kama: rafiki
Nchi ninayoishi: tanzania
Umbo langu: mnene kiasi na ni mfupi siyo mbilikimo ni mweusi wa wastani
Kazi yangu: nitataja badae
Muonekano wangu: wakawaida
Mshahara: badae
Oa/olewa: bado sijaoa
Mtoto: sina
Dini yangu: mkirsto
Dini yake: awe mkirsto
Sigara(mimi): sivuti
Sigara(yeye): asivute
Pombe(mimi): sinywi
Pombe(yeye): asinywe
Email yangu: marco.cosmas@yahoo.com
Simu: badaaye
Maelezo zaidi: namuhitaji msichana mwenye heshima zake siyo bora msishana tu, sababu ya kumtafuta rafiki wa kike ni kubadilishana mawazo na mengineyo tutazunguma naye endapo nikimpata.



GODFREY
Jina langu: Godfrey
Kabila langu: Mchaga.
Jinsia yangu: Mwanamume
Umri wangu: 30
Natafuta: Mwanamke
Umri wake: 20-25
Kwa uhusiano kama: Long Term Relationship/Marriage.
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: kimo cha wastani.
Kazi yangu: Mwajiriwa..
Muonekano wangu: Mrefu wastani kama 4.8 feet
Mshahara: Nitausema kwa mtarajiwa.
Oa/Olewa: Sijawahi kuoa.
Mtoto: Sina mtoto.
Dini yangu: Mkristo (RC).
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti hata kidogo, wala sijawahi
Sigara (yeye): Asivute hata kidogo
Pombe (mimi): Sinywi Ponbe
Pombe (yeye): Anywe kiasi
Email: wiserck@yahoo.co.uk
Simu: Nitatoa baadaye tukishafahamiana.
Mimi ni mtanzania nimayeishi TANZANIA.
Maelezo Zaidi: Napenda kusoma vitabu + kusafiri.


EMERALD. Jina langu: Emerald
Jinsia yangu: Mwanaume
Umri wangu: 29
Natafuta: Msichana
Umri wake: 21-26.
Kwa uhusiano kama: Long Term Relationship/Marriage.
Nchi unayoishi: Tanzania
Umbo langu: kimo cha wastani, mweusi kiasi
Kazi yangu: Nina kazi nzuri, tena ya uhakika na maisha ya kiwango.
Muonekano wangu: Wa kuvutia kiasi.
Mshahara: Nitausema kwa mtarajiwa
Oa/Olewa: Sijawahi kuoa
Mtoto: Sina mtoto wala sijawahi kupata mtoto
Dini yangu: Mkristo.
Dini yake: Mkristo
Sigara (mimi): Sivuti hata kidogo, wala sijawahi
Sigara (yeye): Asivute hata kidogo
Pombe (mimi): Sinywi kabisa.
Pombe (yeye): Sitaki wanaokunywa pombe
Email: daimapamoja@yahoo.com
Simu:
Nitatoa baadaye tukishafahamiana.
Maelezo Zaidi: Napenda kukutana na msichana/mwanamke mwaminifu kwa maneno na matendo. Najua na nafahamu maana ya mapenzi ya dhati. Nipo tayari kujitolea kwa atakae nipenda kama nilivyo, sina ulemavu wowote, ni mzima wa afya. Sihitaji msichana wa kupotezeana muda. Sitaki msichana anaetaka kutumia uhusiano kujitatulia matatizo yake ya kifedha, au mwenye mawazo ya kutumia tu. Mimi najimudu na maisha yangu, sio tajiri wala masikin, napenda sana mawazo ya kuendelea zaidi, najifunza kila siku. Napenda kuangalia mpira, kusafiri, kusoma vitabu na magazeti, kuchat, kusikiliza musics, kuangalia TV na movies, napenda kujifunza kupika, kwan najua kupika vichache mpaka sasa. Maelezo yangu mengine utayapata tukiwasiliana.


MORRIS Jina langu: Moris
Jinsia: kiume
Umri: 26
Natafuta: msichana
Umri wake: 18-24
Uhusiano: mchumba/mke
Nchi nayoishi: Tanzania
Kazi: ict system administrater
Owa: sijaoa
Dini yangu: mkristo
Dini yake: mkristo
Sigara: sivuti
Sigara(yeye): asivute
Pombe(mimi): sometime nakunywa
Pombe(yeye): kias siyo kulewa
Email yangu: damianmoris@yahoo.com
Simu: badae
Maelezo zaidi: awe mpole mcheshi, mpenda maendeleo , mwaminifu.awe muwazi kwa mambo yake .asiwe mpenda kuzurura. awe anjua nini maana mke na awe anajua nini maana ya kuwa mume.
_________________________________________________________________________

THOBI
Jina langu: Thobi NIMEPATA PARTNER KUPITIA BLOG HII.
AHSANTE WABONGOMEET KWA KAZI YAKO.




JIMMY
Hi Dada,
Asante sana sasa unaweza kuondoa my profile hapo chini kwenye Blog yako, nimepata mchumba sasa nashukuru Mungu kwa hilo.
Ni hayo tu asante




BILLY
Jina langu: BILLY Jinsia yangu: MWANAUME
Umri wangu: 28
Natafuta: MCHUMBA
Umri wake: 18 - 27. Kwa uhusiano kama: KUOANA Nchi unayoishi: TANZANIA
Umbo langu: WASTANI
Kazi yangu:
Muonekano wangu: KAWAIDA.
Mshahara: Siri yangu
Oa/Olewa: SIJAOA
Mtoto: SINA
Dini yangu: MKRISTO RC. Dini yake: MKRISTO Sigara (mimi): Sivuti
Sigara (yeye): ASIVUTE Pombe (mimi): SINYWI Pombe (yeye): HAIJARISHI.
Email:
billy2try@yahoo.com
Simu: 0713 119510
Maelezo Zaidi: baadae.

_________________________________________________________________________
Awe na umri: 16-26.
MAHALI: Popote ndani ya tanzania au nje, anayefanya kazi au hata mwanafunzi
Elimu yangu: kidato cha nne.
Vitu ambavyo navipenda: kuchart na watu,mtu aneyejieshimu,mtulivu,msafi anaependa maendeleo na pia mcheshi ,anayejipenda,anayependa taifa lake
sababu ya kutafuta rafiki: ni kupata rafiki ambaye anasifa hapo juu ambaye tutachart nae na kubadilishana mawazo.
Kunipata: tuma sms
Au piga simu au tuma sms usibeep namba:0757810234 au 0716711172. Asante !?
_________________________________________



SAMMY JIMMY.
Umri wake: miaka 45
Anatafuta: rafiki
Jinsia anayotafuta: mwanamke
Awe na Umri: 30-40
Wasifu: Awe na upeo wa mambo , awe na kazi nzuri na anayeweza mawasiliano ya haraka kwa njia ya internet.
Nchi anayoishi: Japan
Email: sammyjim@rocketmail.com
Simu: Baadaye
Sababu: Rafiki




LUJAHINA ABDULLAH AL KHARUSI
Umri wake: 26-32
Umri wa anayemtafuta: 18-25
Anatafuta: Rafiki
Jinsia anayoitaka: Mvulana
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo
Natafuta marafiki kutoka nchi mbali mabli ulimwenguni Mvulana or Msichana awe mweupe or mweusi, Mfupi or Mrefu na ane penda kusoma magazeti na Kusafiri.
Wasifu wake na vitu anavyopenda
Mimi nimemaliza elimu ya Seconadry nchini Tanzania wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora. Napendelea kusoma hadith na Vitimbwi vya mzee sani na ndumilakuwili
Nchi anayoishi sasa: Oman
Email: Planing1997@yahoo.com
Simu yake: Baada ya Kujuwana
Sababu ya kutafuta ni: Napenda kubadilishana mawazo





NGETA ISACK Umri wake : 26-32
Umri wa anayemtafuta: 18-25
Anatafuta: Mchumba
Jinsia anayoitaka: Msichana
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo
MWENYE MAPENZI YA DHATI,ELIMU KUANZIA KIDATO CHA NNE,ASIWE MNENE SANA, MCHA MUNGU MKIRISTO
Wasifu wake na vitu anavyopenda
NINA ELIMU YA KIDATO CHA SITA NA NI MWALIMU WA SEKONDARI,MREFU KIASI
Nchi anayoishi sasa: TANZANIA
Email: mashambaemmanuel@ymail.com
Simu yake: 0787849097
Sababu ya kutafuta ni: mke



A. MSAGAMAS Umri wake: 18-25
Umri wa anayemtafuta: 18-25
Anatafuta: Rafiki
Jinsia anayoitaka: Mvulana
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo
NATAFUTA MARAFIKI WENYE UWEZO WA KUONGEA KIFARANSA KTK ADVANCED LEVEL.
Wasifu wake na vitu anavyopenda: YEYOTEMWENYE UWEZO!
Nchi anayoishi sasa: TANZANIA
Email: msagamas_andrew@yahoo.co.uk
Simu yake: pas necesaire!!
Sababu ya kutafuta ni: pou la cmmunication avance!!


NALAA TALALAI hallo dada,
mie ni kijana wa umri wa miaka 36 na nipo masomoni na kikazi hapa uk. natafuta binti mwenye kujiona kuwa anahitaji mume wa kushare naye future yake na kupendana kwa dhati. naomba kama wapo uwapatie email yangu kwa yeyote aliye serious tuwasiliane na kujuana zaidi, nasubiria majibu yao..
ahsante.
Email: masssaiboi@yahoo.co.uk



KAYILA FELIX Tarehe aliyojiandikisha: 1/17/2009
Umri wake: 18-25
Umri wa anayemtafuta: 18-25
Anatafuta: Rafiki
Jinsia anayoitaka: Msichana
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo
Awe mpenda MUNGU,pia awe mkweli na mtenda haki kwa watu.Mtani kidogo siyo sana.Asiwe na dharau.
Wasifu wake na vitu anavyopenda
Nipo chuo cha ualimu. Napendelea sana mpira wa miguu ni shabiki mkubwa wa SIMBA na CHELSEA
Nchi anayoishi sasa : TANZANIA
Email: felixkayila@yahoo.com Simu yake: Nitatoa akiihitaji
Sababu ya kutafuta ni
Kupeana ushauri na kubadilishana mawazo.




EDDO.
Mimi naitwa Eddo naishi Holland natafuta mchumba popote pale alipo sina chaguo.
Email: bigavanti@yahoo.com


RAY RAMSON.
NI mtanzania ninaeishi hapa europ spain najitokeza kwako kwenye blog hii mpya kutafuta rafiki wakuweza kuwasiliaana na kupeaana habari mbalimbali za maisha au kijinsia yoyote.rafiki ninae tafuta ni mschana awe ni mtanzania au wanchi yoyote,ilikujisikia fresh nahitaji mtu wakubadilishana nae mawazo.
Email: rayramson@yahoo.ca


VICTOR BHWANA. Im Victor from Tanzania I’m looking for a white girl I wanna merry her.
Email: v.bhwana@zantel.co.tz
MARTIN PETER
Umri wake: 18-34
Jinsia yangu: Mwanaume.
Umri wa anayemtafuta: 18-25
Anatafuta: Mchumba (KIKE)
Anapenda kuwa na mahusiano na mtu mwenye sifa zifuatazo:
mcheshi, mkarimu, mpenda watu, anayekwenda na wakati, mwenye uaminifu ktk mahusiano.
Wasifu wake na vitu anavyopenda:
mimi ni mkweli, napenda kuangalia movies, napenda kuangalia football, napenda kusoma love story novels, pia napenda surfing.
Nchi anayoishi sasa: United Kingdom (Uingereza)
Email: jens.klaans@yahoo.co.uk
Simu yake: nitatoa baadae
Sababu ya kutafuta: Urafiki Mungu akipenda ndoa.

_____________________________________________














CALVIN
Jina langu: calvin
Jinsia yangu: mvulana Umri wangu: 28 Natafuta: mchumba Umri wake: 25-32
Kwa uhusiano kama: mapenzi Nchi unayoishi: Tz
Umbo langu: mediam Kazi yangu: kaziMuonekano wangu: wa kawaida tu Mshahara: Siri yangu
Oa/Olewa: sijaoa Mtoto: sina Dini yangu: mkristo
Dini yake: yoyote
Sigara (mimi): sivuti Sigara (yeye): havuti Pombe (mimi): kidogo
Pombe (yeye): kidogo Email: cyberlalola@gmail.com
Simu: baadae
____________________________________________________________________

JOHN BABU
Umri: 25-27
Jinsia niitakayo: Msichana
Natafuta: Mchumba
Mahali nilipo: Mwanza, Tanzania.
Elimu: Chuo
Namtafuta mwanamke mcha Mungu mwenye Umri kati ya miaka 22-25, awe amemaliza form six anafanya kazi au ni mwanafunzi wa chuo kikuu au mfanyakazi yeyote. Ambaye yuko tayari tuwasiliane kupitia jbabu04@gmail.com
Nitatoa namba ya simu nikijibu Email yako. Natafuta mtu aliye serious na ambaye yuko tayari kuishi nami, na ambaye hana kashfa kashfa za ngono n aliyetayari kupima virusi vya ukimwi.
_______________________________________________________________


Naitwa: GOODLUCK MLEKWA
Jinsia: Mvulana
Umri: Miaka 16-26
Natafuta rafiki jinsia: Msichana












5 comments:

  1. wengine wanatafuta walimu..eti nataka mtu anaongea kifaransa advance level hii inakaaje ama tunazinguwana?

    ReplyDelete
  2. OSCAR
    Jina langu: oscar
    Jinsia yangu:mvulana
    Umri wangu: 35
    Natafuta : mchumba
    Kwa uhusiano kama : mapenzi na urafiki
    Nchi nnayoishi : Tanzania
    Umbo langu : wastani
    Kazi yangu :electronic
    Mshahara : siri yangu
    Oa/Olewa : sijaoa
    Mtoto : sina
    Dini : mkristo
    Dini yake : yeyote
    Sigara : sivuti
    Sigara : asivute
    Pombe :situmii
    Pombe :ASITUMIE
    Email: oscarmakoye@yahoo.com
    Simu : 0714091332 au 0769091332
    Maelezo: baadae

    ReplyDelete
  3. naitwa neema matemba,umri wangu ni 27,single sijaoulewa,natafuta mchumba wa kunioa,napenda mtu asiyekunywa pombe,awe mcheshi,atakayeipenda familia yake,kabila lolote sijali rangi,awe japo na elimu ya kidato cha nne,awe na umri kuanzia 30 na 40,asivute,ni ndoa siyo urafiki,naishi dar mitaa ya tabata,umbo langu ni mnene kiasi,siyo mrefu wala si mfupi,ni mtaalam wa computer,simu 0718002270,awe anaishi dar,

    ReplyDelete
  4. Jina langu ni Anna-Marie Mashala. Mimi ni msichana/mwanamke mwenye miaka 34. Niko hapa kutafuta rafiki ambaye baadae (soon) twaweza kuwa wachumba na hatimaye kufunga ndoa. Mimi ni msichana/mwanamke Mtanzania halisi. Nina elimu ya chuo kikuu, ni muajiriwa na pia nina vibiashara vyangu. Ni Mkristo (Lutheran), sinywi pombe ya aina yoyote wala sivuti. Sijawahi kuolewa wala sina mtoto.

    Kwa sasa niko nje ya nchi kimasomo, ingawa nitamaliza hivi karibuni.

    Mengi zaidi tutafahamishana na huyo tutakayeelewana. E mail yangu ni annamariemashala@gmail.com

    ReplyDelete
  5. Jina langu naitwa Amani, natafuta friend wa kike baada ya urafiki ndiyo yatafuata mengine namba yangu ni 0788649323 au ukitaka kuona picha zangu nicheki Facebook kupitia jina la "PRINCE AMANI da GODWIN"

    ReplyDelete